Gharama ya Usafiri
Dar es Salaam: gharama huanzia TZS 3,000.00 hadi TZS 26,000.00kulingana na area. Mikoani: flat rate ya TZS 10,000.00.
Stock Ipo | Usafiri Tanzania Nzima | COD • Pesapal • Bank Deposit +255653670590
Faith Online Shop
Tunalenga kupeleka oda kwa haraka na kwa urahisi kwa wateja wote Tanzania. Hii ni taarifa ya jumla ya namna usafiri wetu unavyofanya kazi.
Dar es Salaam: gharama huanzia TZS 3,000.00 hadi TZS 26,000.00kulingana na area. Mikoani: flat rate ya TZS 10,000.00.
Dar es Salaam mara nyingi ni siku 1-2. Mikoa mingine mara nyingi ni siku 2-5 kutegemea umbali na ratiba ya usafiri.
Kwa maelekezo ya sasa: kuanzia delivery ya 4,000 na kuendelea imeongezwa 1,000.
| Area / Route | Final Fee |
|---|---|
Area 1 Bibi Titi / Morogoro | TZS 3,000.00 |
Area 2 Uhuru St | TZS 3,000.00 |
Area 3 Nyerere 1 Imewekwa kwenye band ya karibu ya mjini. | TZS 3,000.00 |
Area 4 Nyerere 2 | TZS 6,000.00 |
Area 5 Mandela Rd | TZS 9,000.00 |
Area 6 Morogoro 1 | TZS 5,000.00 |
Area 7 Morogoro 2 | TZS 6,000.00 |
Area 8 Bagamoyo 1 | TZS 5,000.00 |
Area 9 Bagamoyo 2 | TZS 10,000.00 |
Area 10 Bagamoyo 3 | TZS 24,000.00 |
Area 11 Kilwa Rd 1 | TZS 8,000.00 |
Area 12 Kilwa Rd 2 | TZS 11,000.00 |
Area 13 Nyerere 3 | TZS 8,000.00 |
Area 14 Nyerere 4 | TZS 21,000.00 |
Area 15 Morogoro 3 | TZS 10,000.00 |
Area 16 Morogoro 4 | TZS 26,000.00 |
Area 18 Kigamboni 1 | TZS 11,000.00 |
Mbezi (Mpigi Magoye route) | TZS 21,000.00 |
Mikoa yote nje ya Dar es Salaam: TZS 10,000.00 (flat rate).
Oda nyingi huthibitishwa kwa simu au WhatsApp kabla ya kutumwa. Tafadhali hakikisha namba ya simu ni sahihi ili kuepusha kuchelewa.
Tunakubali Cash on Delivery, Pesapal, na Bank Deposit. Kwa installment, unaweza kulipa kiasi cha awali na kumalizia kabla ya kuchukua oda.