Stock Ipo | Usafiri Tanzania Nzima | COD • Pesapal • Bank Deposit +255653670590

Faith Online Shop

Shipping Policy

Tunalenga kupeleka oda kwa haraka na kwa urahisi kwa wateja wote Tanzania. Hii ni taarifa ya jumla ya namna usafiri wetu unavyofanya kazi.

Gharama ya Usafiri

Dar es Salaam: gharama huanzia TZS 3,000.00 hadi TZS 26,000.00kulingana na area. Mikoani: flat rate ya TZS 10,000.00.

Muda wa Kufika

Dar es Salaam mara nyingi ni siku 1-2. Mikoa mingine mara nyingi ni siku 2-5 kutegemea umbali na ratiba ya usafiri.

Dar es Salaam Delivery Fees (Updated)

Kwa maelekezo ya sasa: kuanzia delivery ya 4,000 na kuendelea imeongezwa 1,000.

Area / RouteFinal Fee

Area 1 Bibi Titi / Morogoro

TZS 3,000.00

Area 2 Uhuru St

TZS 3,000.00

Area 3 Nyerere 1

Imewekwa kwenye band ya karibu ya mjini.

TZS 3,000.00

Area 4 Nyerere 2

TZS 6,000.00

Area 5 Mandela Rd

TZS 9,000.00

Area 6 Morogoro 1

TZS 5,000.00

Area 7 Morogoro 2

TZS 6,000.00

Area 8 Bagamoyo 1

TZS 5,000.00

Area 9 Bagamoyo 2

TZS 10,000.00

Area 10 Bagamoyo 3

TZS 24,000.00

Area 11 Kilwa Rd 1

TZS 8,000.00

Area 12 Kilwa Rd 2

TZS 11,000.00

Area 13 Nyerere 3

TZS 8,000.00

Area 14 Nyerere 4

TZS 21,000.00

Area 15 Morogoro 3

TZS 10,000.00

Area 16 Morogoro 4

TZS 26,000.00

Area 18 Kigamboni 1

TZS 11,000.00

Mbezi (Mpigi Magoye route)

TZS 21,000.00

Mikoani Delivery Fee

Mikoa yote nje ya Dar es Salaam: TZS 10,000.00 (flat rate).

Uthibitisho wa Oda

Oda nyingi huthibitishwa kwa simu au WhatsApp kabla ya kutumwa. Tafadhali hakikisha namba ya simu ni sahihi ili kuepusha kuchelewa.

Malipo

Tunakubali Cash on Delivery, Pesapal, na Bank Deposit. Kwa installment, unaweza kulipa kiasi cha awali na kumalizia kabla ya kuchukua oda.

WhatsApp